WANANCHI WA MWANZA NA SINGIDA WAPEWA ELIMU YA MRADI WA HEET

October 24, 2024

Waratibu wa masuala ya Jamii katika utekelezaji wa mradi wa HEET unaoendelea kwa Kampasi za Mwanza na Singida wametoa elimu ya mradi wa HEET katika kipindi chote cha utekelezaji huo.

Mratibu Sofia Venance amesema kipindi cha utekelezaji wa mradi ni muhimu wananchi kufahamu namna mradi utaavyotelezwa, jinsi malalamiko yatakavyoshughulikiwa na fursa zilizopo katika maeneo yanayozunguka miradi,

“Nawasihi tujiepushe na vishawishi vya wageni wa nje wanaokuja kufanya kazi na kuondoka kwa kutokuanzisha mauhusiano ambayo yanaweza pelekea ukapata mtoto na baadae ukatekelezwa ,”. Alisisitiza Mratibu Sofia

Naye, Mratibu Simon Wankogere amesema miradi hii inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita imelenga kutekelezwa bila kuathiri mazingira na endapo kutakuwa na changamoto yoyote ya kimazingira basi wananchi and wasisite kutoa taarifa katika ofisi ya malalamiko ili kupatiwa ufumbuzi.

“Ukiona mkarandasi hahafuata sheria za usalama mahala pa kazi, vibarua hawajalipwa, au changamoto yoyote ambayo inaweza kwamisha maendeleo ya utekelezaji wa mradi basi usisite kutoa taarifa,”. Alisisitiza Mratibu Simon

 

 

Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
Online Application
Online Registration
LMS

Dar campus

Mbeya Campus

Singida Campus

Mtwara Campus

Kigoma Campus

Mwanza Campus

Tanga campus

Zanzibar Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/