TIA KAMPASI YA MWANZA YASHIRIKI KAMPENI YA “CHANGIA DAMU OKOA MAISHA LEO”

April 14, 2022
Wanachuo na watumishi wa TIA  Kampasi ya Mwanza wamiminika  kuchangia damu leo, tarehe 13.04.2022 ikiwa ni sehemu ya ushiriki wao katika kampeni ya “kuchangia damu okoa Maisha leo” iliyoratibiwa na Meneja wa Kampasi hiyo Dkt. Honest Kimario akishirikiana na Afisa Rasilimali Watu wa Kampasi hiyo Ndugu Obeid Joseph.
Taasisi ya Uhasibu Tanzania itaendelea kushirikiana na wadau mbali mbali katika jamii ili kutatua changamoto zitakazojitokeza hususani hii ya upungufu wa damu
Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
MAB Members
Online Application
Online Registration
LMS

Dar campus

Mbeya Campus

Singida Campus

Mtwara Campus

Kigoma Campus

Mwanza Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/