TIA KAMPASI YA KIGOMA YAWANOA WAFANYAKAZI WA CAMBRIGESHIRE ACADEMY

February 1, 2022
Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Kampasi ya Kigoma imetoa mafunzo kwa Wafanyakazi ya Shule ya Cambrigeshire Academy iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma.
Mafunzo hayo yalilenga kuboresha utendaji wa Taasisi ya Cambridge hususani katika nyanja za utoaji huduma kwa wateja, utafutaji wa masoko, Sheria za biashara na kazi, usimamizi wa Bohari na ununuzi pamoja na utunzaji wa fedha ambayo yaliendeshwa na wawezeshaji wabobezi 10 kwa siku 5 kutoka TIA kampasi ya Kigoma.
Aidha, mafunzo hayo yamewajengea uwezo wafanyakazi wa shule ya Cambrigeshire Academy ili kuboresha  mazingira ya Wanafunzi kupata elimu bora.
TIA imeendelea kuwa kinara wa utoaji mafunzo katika kuboresha huduma zitolewazo katika Taasisi mbalimbali kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
Online Application
Online Registration
LMS
Dar campus
Mbeya Campus
Singida Campus
Mtwara Campus
Kigoma Campus
Mwanza Campus
Tanga campus
Zanzibar Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/