Prof. Jehovaness Aikael ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)

October 15, 2024

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), kwa mamlaka aliyonayo
chini ya Kifungu cha 5(4) cha Sheria ya Wakala za Serikali, Sura 245, amefanya uteuzi
wa Mwenyekiti na Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)
kama ifuatavyo: –
1. Amemteua Prof. Jehovaness Aikael kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya
Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA). Prof. Aikael ni Profesa Mshiriki, Chuo Kikuu
cha Dar es Salaam;

Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
Online Application
Online Registration
LMS
Dar campus
Mbeya Campus
Singida Campus
Mtwara Campus
Kigoma Campus
Mwanza Campus
Tanga campus
Zanzibar Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/