VYUO VYA ELIMU YA JUU ENDELEENI KUPOKEA USHAURI KUTOKA TCU 

July 25, 2022

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dkt. Francis Michael amewataka Wakuu wa Taasisi za Elimu ya juu kuendelea kupokea ushauri unaotolewa na TCU na kuutekeleza pamoja na kushiriki  maonesho hayo kwa kuwa yanaziwezesha Taasisi za Elimu ya Juu kukutana na wadau moja kwa moja.

Amesema hayo wakati akihitimisha  Maonesho ya 17 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia ya leo tarehe 23/7/2022 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam.

Pia Dkt. Michael ameviasa Vyuo kuzingatia sheria na kanuni kwa kufuata mwongozo na taratibu wakati udahili.

Taasisi ya Uhasibu Tanzania ni moja kati ya Vyuo vya Elimu ya Juu vilivyoshiriki maonesho hayo na kuwatunuku cheti cha ushiriki.

Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
MAB Members
Online Application
Online Registration
LMS

Dar campus

Mbeya Campus

Singida Campus

Mtwara Campus

Kigoma Campus

Mwanza Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/