TIA YAPEWA TUZO NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS KATIBA, SHERIA, UTUMISHI NA UTAWALA BORA

May 21, 2022

Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman atoa tuzo kwa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA).

Mhe.Haroun Ali Suleiman amekabidhi tuzo hiyo ya shukrani leo tarehe 20/05/2022 katika Kongamano la Rasilimali Watu ikiwa ni Kilele cha Siku ya Kimataifa ya Rasilimali Watu kilichofanyika Jijini Arusha Ukumbi wa Mount Meru.

Tuzo hiyo imepokelewa na Mratibu wa Mafunzo Bi.Dorah chenyambuga kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa TIA.

Chuo cha TIA ni mdau mkubwa katika kutoa Mafunzo ya Rasilimali Watu sambamba na nyanja nyingine za Uhasibu, Ugavi, Usimamizi wa Biashara, Masoko na Uhusiano, Uhasibu wa Umma na Fedha ngazi ya Cheti, Stashahada, Shahada Stashahada ya Uzamili na Shahada ya Uzamilii.

Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
MAB Members
Online Application
Online Registration
LMS

Dar campus

Mbeya Campus

Singida Campus

Mtwara Campus

Kigoma Campus

Mwanza Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/