TIA IMEDHAMIRIA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA KUSOMEA NA KUFUNDISHIA

March 4, 2022

Taasisi ya Uhasibu Tanzania chini ya uongozi wa Dkt.Momole Kasambala Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu imedhamiria kuboresha Miundombinu ya kusomea na kufundishia ili kuendelea kutoa elimu yenye ufanisi.

Katika kuhakikisha dhamira hiyo inatimia TIA imeanza miradi ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali Kampasi ya Mtwara ambapo jengo la Maktaba na Maabara ya Kompyuta pamoja na Madarasa ujenzi umefikia hatua ya kumwanga sakafu ya mwisho kabla ya kupaua.

Jengo la Maktaba na Maabara ya Kompyuta katka hatua ya Sakafu ya mwisho kabla ya kupaua.

Jengo la Madarasa upande wa mbele.

Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
MAB Members
Online Application
Online Registration
LMS

Dar campus

Mbeya Campus

Singida Campus

Mtwara Campus

Kigoma Campus

Mwanza Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/