Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) inawatangazia watumishi wa Umma kuwepo kwa nafasi wazi 35 za kuhamia katika kada mbalimbali. Nafasi hizi zinategemewa kujazwa katika Kampasi zote sita (6) kama inavyoonekana katika mchanganuo.(Bonyeza hapa kuona PDF)