TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY

NAFASI ZA KAZI ZA VIKUNDI VYA UJENZI NA UKARABATI – TANGAZO LINARUDIWA

February 11, 2021

9/02/2021, Taasisi ya Uhasibu Tanzania(TIA) ni Wakala wa Serikali chini ya Wizara ya Fedha na Mipango. Kwa mwaka wa fedha 2020/2021 imepanga kutekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi na ukarabati wa majengo mbalimbali yaliyopo katika kampasi ya Mbeya kwa kwa mtindo wa nguvu kazi (Force Account).Click Link to view PDF

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/