HONGERENI TIA KWA KUSHIRIKI MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA KASKAZINI KWA MARA YA KWANZA

August 9, 2022
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara wa  Taasisi ya Uhasibu Tanzania Wakili Said Musendo Chiguma ameipongeza TIA kwa mara ya kwanza kushiriki Maonesho ya Nane Nane kanda ya Kaskazini Arusha yanayowezesha kukutana na wadau mbalimbali
“Hakika hongereni sana kwa kuendelea kuitangaza TIA, nimefarijika kuwaona kanda hii ya Kaskazini mkishiriki maonesho haya yenye tija kubwa kwa Taasisi na kwa Wananchi tunaowahudumia kwani yanatukutanisha na wadau mbali mbali muhimu,”. Alisema Wakili Chiguma
Mwenyekiti wa Bodi amesema hayo alipotembelea banda la TIA katika maonesho ya Nane Nane Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika viwanja vya Themi Njiro, Arusha.
Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
MAB Members
Online Application
Online Registration
LMS

Dar campus

Mbeya Campus

Singida Campus

Mtwara Campus

Kigoma Campus

Mwanza Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/