SIFA ZA KUJIUNGANA KOZI MBALIMBALI

1.0 CHETI CHA AWALI (BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE)

I. Mwombaji awe amefaulu angalau masomo 4 kwa kiwango cha alama “D” au zaidi kwenye mtihani wa kidato cha nne; Au

II. Awe na NVA II na ufaulu wa angalau masomo mawili kwenye mtihani wa kidato cha nne.

2.0 STASHADA (DIPLOMA)

  1. Aliyehitimu Cheti cha Awali (NTA Level 4) mwenye ufaulu wa masomo angalau 4 kwenye mtihani wa kidato cha nne; Au
  2. Aliyehitimu Kidato cha Sita mwenye ufaulu wa kuanzia Principal moja na Subsidiary moja; Au
  3. Aliyehitimu NVA III mwenye ufaulu wa masomo mawili kwenye mtihani wa kidato cha nne. 

3.0 SHAHADA (BACHELOR DEGREE)

I. AliyehitimuKidato cha SitamwenyePrincipal passes 2 au zaidi (isipokuwamasomoyadini) najumlayaalamazisizopungua  4.0 kwatafsiriifuatayo: –

A – 5, B+ – 4, B – 3, C – 2, D – 1 (waliomalizamwaka 2014 na 2015)

A – 5, B – 4, C – 3, D – 2, E – 1 (waliomalizakablayamwaka 2014, na 2016)

Pia mwombaji awe amefauluHisabatinaKingerezakatikamtihaniwakidato cha nnekwawaombajiwaKozizaUhasibu (BAC), UnunuzinaUgavi (BPLM), naUhasibuwaFedhazaUmma (BPSAF); Au                              

II. AliyehitimuStashahada/NTA Level 6 mwenye GPA ya 3.5 au upper second class; Au

 III. Aliyehitimu FTC mwenyewastaniwaalama “B”; Au                             IV. AliyehitimuStashahadayaUalimumwenyewastaniwaalama “B+”.

4.0 STASHAHADA YA UZAMILI (POSTGRADUATE DIPLOMA)

  1. Mwombaji awe na shahada ya kwanza au Stashahada ya Juu katika fani husika kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na NACTE/ TCU; Au
  2. Waliopitia kwenye bodi za fani husika (NBAA/PSPTB); Intermidiate stage au zaidi kwa NBAA na Proffesional level 3 au zaidi kwa PSPTB.
Vision and Mission
Core Values
Main Functions
Why Choose TIA
Online Application
Online Registration
LMS
Dar campus
Mbeya Campus
Singida Campus
Mtwara Campus
Kigoma Campus
Mwanza Campus
Tanga campus
Zanzibar Campus

 

History

Services

TIA Journal

TIA Repository

Open Access DB

Subscribed DB

Catalog

 

/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/