TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY

 1.0 CHETI CHA AWALI (BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE):

I. Mwombaji awe amefaulu angalau masomo 4 kwa kiwango cha alama “D” au zaidi kwenye mtihani wa kidato cha nne; Au

II. Awe na NVA II na ufaulu wa angalau masomo mawili kwenye mtihani wa kidato cha nne.

2.0    STASHADA (DIPLOMA):

  1. Aliyehitimu Cheti cha Awali (NTA Level 4) mwenye ufaulu wa masomo angalau 4 kwenye mtihani wa kidato cha nne; Au
  2. Aliyehitimu Kidato cha Sita mwenye ufaulu wa kuanzia Principal moja na Subsidiary moja; Au
  3. Aliyehitimu NVA III mwenye ufaulu wa masomo mawili kwenye mtihani wa kidato cha nne. 

  3.0 SHAHADA (BACHELOR DEGREE):

I. AliyehitimuKidato cha SitamwenyePrincipal passes 2 au zaidi (isipokuwamasomoyadini) najumlayaalamazisizopungua  4.0 kwatafsiriifuatayo: –

A – 5, B+ – 4, B – 3, C – 2, D – 1 (waliomalizamwaka 2014 na 2015)

A – 5, B – 4, C – 3, D – 2, E – 1 (waliomalizakablayamwaka 2014, na 2016)

Pia mwombaji awe amefauluHisabatinaKingerezakatikamtihaniwakidato cha nnekwawaombajiwaKozizaUhasibu (BAC), UnunuzinaUgavi (BPLM), naUhasibuwaFedhazaUmma (BPSAF); Au                              

II. AliyehitimuStashahada/NTA Level 6 mwenye GPA ya 3.5 au upper second class; Au

 III. Aliyehitimu FTC mwenyewastaniwaalama “B”; Au                             IV. AliyehitimuStashahadayaUalimumwenyewastaniwaalama “B+”.

4.0  STASHAHADA YA UZAMILI (POSTGRADUATE DIPLOMA):

  1. Mwombaji awe na shahada ya kwanza au Stashahada ya Juu katika fani husika kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na NACTE/ TCU; Au
  2. Waliopitia kwenye bodi za fani husika (NBAA/PSPTB); Intermidiate stage au zaidi kwa NBAA na Proffesional level 3 au zaidi kwa PSPTB.
/*** Collapse the mobile menu - WPress Doctor ****/